SAA MBILI ZA MAANDAMANO WANAFUNZI BARIADI, ZILIVYO SIMAMISHA MJI WA BARIADI. | MASWAYETU-BLOGSPOT
Breaking News
Loading...

Monday, March 6, 2017

SAA MBILI ZA MAANDAMANO WANAFUNZI BARIADI, ZILIVYO SIMAMISHA MJI WA BARIADI.

BONYEZA HAPO CHINI KUJUA KUHUSU LINI AJIRA ZA WALIMU 2015/2016 ZITATOKA

Wanafunzi wa shule ya sekondari Bariadi iliyoko katika halmashauri mjini wa Bariadi Mjini Bariadi wakiandamana katikati ya barabara kuu ya Bariadi-Lamadi, mjini Bariadi wakishinikizwa kurudishwa Mkuu wa shule yao ambaye alikuwa amepewa uhamisho Deus Toga, ambapo alikuwa amepelekwa shule ya sekondari Giriku na kuletewa Mkuu wa shule mwingine Paul Lutema ambaye walimkataa.


Wanafunzi wa shule ya sekondari Bariadi iliyoko katika halmashauri mjini wa Bariadi Mjini Bariadi wakiandamana katikati ya barabara kuu ya Bariadi-Lamadi, mjini Bariadi wakishinikizwa kurudishwa Mkuu wa shule yao ambaye alikuwa amepewa uhamisho Deus Toga, ambapo alikuwa amepelekwa shule ya sekondari Giriku na kuletewa Mkuu wa shule mwingine Paul Lutema ambaye walimkataa.

Askari wa kikosi cha kuzuia ghasia (FFU) mkoa wa Simiyu wakiwa tayari kuzuia maandamano hayo. 


Askari wa kikosi cha kuzuia ghasia (FFU) mkoa wa Simiyu wakiwakamata baadhi ya wanafunzi wakati wa maanadamano hayo

Askari wa kikosi cha kuzuia ghasia (FFU) mkoa wa Simiyu wakiwakamata baadhi ya wanafunzi wakati wa maanadamano hayo.

Askari wa kikosi cha kuzuia ghasia (FFU) mkoa wa Simiyu wakimkamata mmoja wa wanafunzi wakati wa maanadamano hayo, ambapo walimkamata na kkumuweka kwenye gari la polisi.

skari wengine wakiwakimbiza wanafunzi ili kuwakamata

Akari wa kikosi cha kuzuia ghasia (FFU) mkoa wa Simiyu wakiwa katika eneo la shule ya sekondari Bariadi, kuhakikisha wanafunzi wanaingia madarasani ili wasiendeleze maandamano.

Walimu wa shule ya sekondari Bariadi iliyoko Mjini Bariadi Mkoani Simiyu, wakiwatuliza wanafunzi wa shule hiyo wasiandamane tena, baada ya kurudishwa na askari wa FFU kwa mabomu ya machozi kutoka katikati ya barabara kuu ya Bariadi-Lamadi walipokuwa wakiandamana kwenda ofisi ya mkuu wa mkoa wa Simiyu kwa ajili ya kupinga uhamishi wa Mkuu wao wa shule.

baadhi ya wanafunzi wakiwa wamebebwa na wenzao baada ya kupoteza fahamu kutokana na kupigwa na mabomu ya machozi, wakati wakiwa katika maandamanokwenda ofisi ya mkuu wa mkoa wa Simiyu kwa ajili ya kupinga uhamishi wa Mkuu wao wa shule.




Kaimu Mkuu wa mkoa wa Simiyu ambaye pia ni Mkuu wa wilaya ya Bariadi Festo Kiswaga, akiangalia mabango yaliyokuwa yamebebwa na wanafunzi hao, ambao alifika shuleni hapo kwa ajili ya kuwatuliza, na kusikiliza madai yao na kuamua mwalimu huyo kurejeshwa shuleni hapo.

Kaimu Mkuu wa mkoa wa Simiyu ambaye pia ni Mkuu wa wilaya ya Bariadi Festo Kiswaga, akiangalia mabango yaliyokuwa yamebebwa na wanafunzi hao, ambao alifika shuleni hapo kwa ajili ya kuwatuliza, na kusikiliza madai yao na kuamua mwalimu huyo kurejeshwa shuleni hapo.


Kaimu Mkuu wa mkoa wa Simiyu ambaye pia ni Mkuu wa wilaya ya Bariadi Festo Kiswaga, akiangalia mabango yaliyokuwa yamebebwa na wanafunzi hao, ambao alifika shuleni hapo kwa ajili ya kuwatuliza, na kusikiliza madai yao na kuamua mwalimu huyo kurejeshwa shuleni hapo.


wanafunzi hao wakiwa wanaandamana, barabara kuu ya bariadi-lamadi


ZAIDI ya Wanafunzi 600 wa shule ya sekondari ya Bariadi halmashauri ya mji wa Bariadi Mkoani Simiyu  wameandamana na kufunga barabara kuu ya Bariadi –Lamadi kupinga kuhamishwa kwa mkuu wa shule hiyo Deus Toga.



Wanafunzi hao walianza kuandamana kwenda katika ofisi ya mkurugenzi wa halmashauri,lakini ilishindikana baada  ya kikosi cha jeshi la polisi kuzuia ghasia (FFU) kuwazuia kwenda katika ofisi hizo.

Hata hivyo wanafunzi hao wakiwa katikati ya barabara hiyo waliamua kuandamana tena kuelekea katika ofisi ya mkuu wa mkoa jambo lililoshindikana pia baada ya askari hao kuwazuia tena eneo la Hospitali teule ya mkoa (somanda).

Baada ya hali hiyo wanafunzi hao ambao ni kidato cha kwanza hadi cha sita waliamua kukaa katikati ya barabara huku wakimba nyimbo za kushinikiza  kuwa hawamtaki mwalimu Paul Lutema ambaye alikuwa amepelekwa kuwa mwalimu mkuu wa shule hiyo.

“hatumtaki mwalimu Lutema……tunamtaka mwalimu wetu Toga…..hatumtaki Lutema……Tunamtaka mwalimu Toga”

Wakiwa wamebeba mabango yenye jumbe mbalimbali za kumkataa mwalimu Lutema na kumtaka mwalimu Deus Toga wanafunzi hao walianza kuwarushia mawe askari hao wakitaka wasiwazuie kwenda kofisi ya mkuu wa mkoa.

Baada ya hali hiyo jeshi la polisi walianza kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wanafunzi hao huku wakiwafukuza kurejea katika eneo la shule ambapo baadhi yao walikamatwa na kupigwa virungu na kuwekwa ndani ya magari ya polisi hadi kupelekwa kituo cha polisi Bariadi.



“toka mwalimu huyu kafika shuleni hapa ufauru umeongezeka na migogoro ya shule iliyokuwepo haipo tena,na duka la shule lilikuwa limefungwa kutokana na migogoro ya walimu lakini toka amekuja hiyo migogoro imekwisha na duka linafanya kazi’’Alisema Justine Mshana.
                    ahsante kwa kutembelea blog hii


v

google+

linkedin

About Author
  • Donec sed odio dui. Duis mollis, est non commodo luctus, nisi erat porttitor ligula, eget lacinia odio sem nec elit. Sed posuere consecteturDonec sed odio dui. Duis mollis, est non commodo luctus, nisi erat porttitor ligula, eget lacinia odio sem nec elit. Read More

    1 comment:

    1. Great site for these post and i am seeing the most of contents have useful for my Carrier.Thanks to such a useful information.Any information are commands like to share him.

      Fresher Jobs in Chennai
      Fresher Jobs in Delhi
      Fresher Jobs in Bangalore
      Fresher Jobs in Kolkata

      ReplyDelete

     


    Travel

    About Us