MASWAYETU-BLOGSPOT
Breaking News
Loading...

Monday, March 6, 2017

MANENO YA MRISHO MPOTO KUHUSU PAUL MAKONDA.

Kumekuwa na headline mbalimbali zinazoendelea nchini ila ya muheshimiwa makonda ndiyo inayoongoza kila kkicha katika vyombo vya habri na magazeti juu ya elimu yake na vyeti vyake.leo kutana na mrisho mpoto aliehamua kuwatolea uvivu wanaomsakama na kumsema kila kukicha muheshimiwa. ...

UEFA; JE ARSENAL NA NAPOLI WATAWEZA KUENDELEA NA HATUA INAYOFATA?

Napoli Game 210:45 PM Real Madrid Arsenal Game 210:45 PM Bayern Munich Unaweza kuwatch live game kupitia simu yako ya mkononi  kwa kupitia first row sports. ...

SAA MBILI ZA MAANDAMANO WANAFUNZI BARIADI, ZILIVYO SIMAMISHA MJI WA BARIADI.

Wanafunzi wa shule ya sekondari Bariadi iliyoko katika halmashauri mjini wa Bariadi Mjini Bariadi wakiandamana katikati ya barabara kuu ya Bariadi-Lamadi, mjini Bariadi wakishinikizwa kurudishwa Mkuu wa shule yao ambaye alikuwa amepewa uhamisho Deus Toga, ambapo alikuwa amepelekwa shule ya sekondari Giriku na kuletewa Mkuu wa shule mwingine Paul Lutema ambaye walimkataa. Wanafunzi wa shule...
 


Travel

About Us